Muongozo wa mafunzo juu ya hedhi salama na ukuaji sasa umeongeza wigo kwa kutumika pia Moshi, mbali na hapo awali ulipokua ukitumika Dar-es-salaam na Ifakara. Muongozo huu ambao umeandiwa na muuguzi Jo Rees na kuweza kufanya vizuri sana katika shule za msingi na za sekondary nchini Ethiopia, kampuni ya Kasole secrets iliona ni vyema kuutumia pia muongozo huo katika program zao za hedhi salama nchini Tanzania. Bi Hyasintha Ntuyeko anasema ni mwaka sasa tangu waanze kuutumia muongozo huo, ambao ulitokea kupendwa sana na wanafunzi na walimu pia. Sasa muongozo huo utatumiwa tena kufundishia shule za moshi vijijini ambapo shirika la Msichana Inititive, Childreach na Tuleane watafundishwa jinsi ya kuutumia muongozo huu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Popular Posts
-
Mwanafunzi kutoka shule ya msingi Matemboni, akimuonyesha mganga mkuu wa wilaya ya Moshi, Dr. Wonanji, pamoja na jopo lake jinsi ya kuten...
-
Binti wa Kijita akielezea mila za wajita kwa binti/mama aliyepohedhi, kua si ruhusa kuonana na baba yako, na unapaswa kukaa ndani huku u...
-
Wanafunzi na washiriki wengine wakiwa wamekusanyika Wizara ya Elimu tayari kwa kusubiri kuanza maandamano jijini Dar-es-salaam ...
-
Jo Rees, nurse mbobezi katika elimu ya afya ya uzazi akiendesha mafunzo ya wakufunzi wa Hedhi Salama katika kijiji cha Ifakara kilichopo...
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Kasole Secrets, na waandaaji wa siku ya hedhi duniani, Hyasintha Ntuyeko, akifungua mkutano na waandis...
-
Wanafunzi Bravo sekondari wakifurahia vyeti vyao walivyotunukiwa baada ya kuhitimu mafunzo ya hedhi salama na ukuaji yaliyotolewa kwa mud...

0 comments:
Post a Comment