MAADHIMISHO YA SIKU YA MTOTO WA KIKE DUNIANI-KONDO SECONDARY
Wanafunzi wa kike na wakiume wa shule ya secondary Kondo walipata fursa ya kusherehekea siku ya mtoto wa kike duniani- program hii iliandaliwa na ubalozi wa Marekani kupitia program yao ya Access
Mkurugenzi wa Kampuni ya Kasole secrets Bi. Hyasintha Ntuyeko akiwa pamoja na wanafunzi katika kikundi waliokua wakijadili matatizo yanayomkabili binti wa Kitanzania
Wanafunzi wa kike walipata pia nafasi ya kujadili changamoto mbalimbali zinazowakumba katika kukabiliana na hedhi salama
0 comments:
Post a Comment